Mrisho Gambo na Rais Paul Kagame! Bravo Komredi!

Thursday, February 9, 2012
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana wa Africa Mashariki na Mjumbe wa Baraza Kuu la UVCCM Taifa, Komredi Mrisho Gambo na viongozi wenzake wa Jumuiya hiyo wakiwa kwenye picha ya pamoja na Rais Paul Kagame wa Rwanda. Ni baada tu ya vikao vyao vya kazi za Jumuiya hiyo nchini Rwanda mwishoni mwa mwaka jana. Vijana ni hazina kubwa, tukidumisha ushirikiano, tukajenga urafiki na mahusiano mazuri, tutaweza kuwa chachu inayohitajika kutufikisha kwenye malengo ya Shirikisho la Africa Mashariki!