Kuoa Uchagani kuna raha zake!

Friday, May 21, 2010
wikiendi iliyopita mke wangu Mama Sheila na Mimi tulitembelewa na wageni. Wageni hao, wakwe zangu na mashemeji walituletea supu (mbuzi wawili) ya mzazi (mama Sheila) kwa ajili ya kunywa na kuleta maziwa ya kutosha. Hii ni baada ya kufurahishwa na ujio wa Mtoto wetu wa pili tuliyempa jina la Hawwah Kigwangalla. Hawwah ni jina la mama mkwe wangu.

1 comment:

Masangu Matondo Nzuzullima (MMN) said...

Mzee mbona kimya? Kura za maoni zimeendaje?

Post a Comment