Kigwangala - Mtu wa Watu!

Wednesday, December 22, 2010
Mgombea Ubunge wa Nzega kupitia Chama Cha Mapinduzi ni mtu mcheshi, mwenye bashasha na anakubalika kwa watu wa makundi yote. Hapa anaonekana amekaa akiongea na bibi kizee wa Kijiji cha Ijanija, Kata ya Ijanija, kabla ya hapo alikuwa akielekea kuhutubia mkutano wa kampeni ambapo alisimamisha gari yake mara moja na kushuka kwenda kumsalimia kikongwe huyu ambaye alifurahi sana kumuona Kigwangalla kwa macho yake!

No comments:

Post a Comment